May 19, 2024

Day

Mnamo tarehe 07/03/2024 wana CDA walitumia jukwaa la redio kutoa elimu kuhusu haki za mwanamke kupitia kipindi Cha redio Cha ZOE FM. Kwa ustadi na weledi, waliweza kufafanua kwa kina masuala muhimu yanayohusu haki za wanawake na kuchangia katika kujenga jamii yenye usawa na haki. Kipindi hicho kilileta faida kubwa kwa jamii. Kwanza, kilichochea uelewa...
Read More
Uzalendo Nguzo ya Maendeleo ya Jamii (UNMJ) is a joint project of AGEN and Community Development Association (CDA). The project is aimed at cultivating the spirit of volunteerism, and patriotism among graduates and ongoing students pursuing the degree of Bachelor of Community Development. CDA was launched at the Department of Agricultural Extension and Community Development of...
Read More
Baadhi ya wanafunzi kutoka chuo kikuu cha kilimo SUA kupitia asasi ya maendeleo ya jamii CDA, walishiriki katika tukio la kuupokea mwenge wilayani Morogoro mnamo tarehe 26/04/2024. Hapo chini ni baadhi ya picha za tukio hilo. Share this
Read More
Uzinduzi wa siku ya mwanaume wa Kitanzania uliofanyika mkoani Morogoro kwa mara ya kwanza toka nchi ya Tanzania ilipoundwa. Uzinduzi huu umefanyika leo tarehe 23/4/2024, ambapo kila mwaka tutakua tukiadhimisha siku ya mwanaume tarehe na mwezi huo. Lengo kuu la maadhimisho haya, nikutambua mchango na jitihada za mwanaume wa Kitanzania katika kuleta maendeleo ya jamii...
Read More
Mnamo tareh 08/03/2024, wana CDA wameshiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake Duniani, tukio lenye mvuto na matukio mengi yaliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi kiwanja Cha ndege. Kwa shauku na hamasa, wamechukua jukumu la kubeba mabango yenye jumbe za kuvutia, yaliyoleta msisimko na kuonyesha mshikamano wao. Shughuli za maonesho zimekuwa dira ya...
Read More