Ikiwa ni muendelezo wa kutengeneza wahitimu wenye weledi, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeshirikiana na Mamlaka ya Afya ya mimea na Viuatilifu (TPHPA) kutoa mafunzo kwa wanafunzi wake.

Ikiwa ni muendelezo wa kutengeneza wahitimu wenye weledi, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kimeshirikiana na Mamlaka ya Afya ya mimea na Viuatilifu (TPHPA) kutoa mafunzo kwa wanafunzi wake.